• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

DONGOBESH FC YAICHAPA STAND FC YA HAYDOM GOLI 1-0 NA KUTINGA NUSU FAINALI KOMBE LA KURUGENZI CUP 2018

Saturday 13th, August 2022
@uwanja wa mpira shule ya haydom

 Mchezajiwa timu ya Dongobesh FC Antipas Vicent akiwa amebebwa juu juu namchezaji mwenzake mara baada ya kumalizika kwa mchezo katika yake natimu ya Stand FC ya Mjini Haydom ambapo mchezaji huyo ndiye aliyeifungiatimu yake goli 1-0 na timu ya Dongobeshi kufanikiwa kuingia nusufainali katika michuano ya Kurugenzi Cup 2018 linaloandaliwa naHalmashauri ya wilaya ya Mbulu, Mchezo huo umefanyika kwenye uwanja waShule ya Msingi ya Haydom.ikidhaminiwa na Kiwanda cha maziwa cha ASAScha Iringa.

 Wachezajiwa timu ya Dongobash FC wakisikiliza maelezo ya Mmoja wa Waratibu wamichuano hiyo Bw. Phars Nyanda wakati akiwapa utaratibu mara baada yamchezo huo kumalizika.

 Benchila Ufundi la Timu ya Dongobesh FC likinyanyuka juu na kushangilia marabaada ya kuifunga timu ya Stand FC ya mjini Haydom katika mchezouliofanyika leo jioni kwenye uwanja wa Shule ya Msingi ya Haydom.

 Golikipawa timu ya Stand FC ya mjini Haydom akisaidiwa na wenzake mara baada yakuumia wakati wakiwania mpira uliokuwa unaingia golini mwake katikamchezo huo.

 Hekahekagolini mwa timu ya Stand FC ya mjini Haydom wakati wachezaji wa timu yaDongobesh FC wakiliandama goli la wapinzani wao.

 Pichazikionyesha wachezaji wa Dongobesh FC na Stand FC ya Haydom wakichuanakuwania mpira wakati mchezo huo ukiendelea kwenye uwanja wa Shule yamsingi Haydom leo.


 Picha zikionyesha wachezaji wa Dongobesh FC na Stand FC ya Haydomwakisalimiana kabla ya kuanza kwa mchezo huo uliofanyika  kwenye uwanja waShule ya msingi Haydom leo.



 Kikosi cha timu ya Dongobesh FC kilichotinga Fainali baada ya kushinda goli 1-0 dhidi ya Stand FC ya Haydom.

 Kikosi cha timu ya Stand FC ya Mjini Haydom kikiwa katika picha ya pamoja kabla ya kuanza kwa mchezo huo 

 Picha mbalimbali zikionyesha mashabiki wa soka wa mjini Haydom walivyojitokeza kushuhudia mchezo huo.



 Akinamama ni miongoni mwa mashabiki wa soka wa mjini Haydom waliojitokezakushuhudia mchezo kati ya Stand FC ya mjini Haydom na Dongobeshi FC.


Matangazo

  • TANGAZO KWA WANANCHI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU TAREHE 18.06.2022 June 16, 2022
  • TANGAZO KWA UMMA MAPOKEZI YA WATUMISHI AJIRA MPYA KADA YA AFYA NA ELIMU July 01, 2022
  • HERI YA SIKU KUU YA NANENANE KWA WANANCHI WOTE NA MATUKIO YA NANENANE 08.08.2022 August 08, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA USAILI WA SENSA July 18, 2022
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • Maonyesho ya Kanda ya Kaskazini ya Nanenane Arusha Banda la Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu Leo 08.08.2022

    August 08, 2022
  • Maonyesho ya Kanda ya Kaskazini ya Nanenane Arusha Banda la Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

    August 04, 2022
  • Mafunzo Maalumu ya Timu ya Uchanjaji Chanjo ya Uviko 19 Yawa Chachu Katika Kuongeza Kasi ya Uchanjaji Katika Kikao Kazi Tarehe 30.07.2022

    July 31, 2022
  • KNY: Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Mgeni Rasmi Ndg. Abubakar A. Kuuli (Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu) Awapa Wahitimu Mbinu Mbadala Namna ya Kujiajiri Katika Mahafali Taasisi ya Mafunzo ya Afya Haydom - Mbulu Tarehe 22.07.2022

    July 23, 2022
  • Tazama zote

Picha Jongefu

Burudani yaTwist yanogesha sherehe ya Wanawake Dongobesh
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.