• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

Mh. Mkuu wa Wilaya ya Mbulu, Sezaria V. Makota Awapongeza Wataalamu wa TARURA Kwa Kusimamia Vizuri Miradi ya Barabara Mbulu

Kurushwa hewani: October 1st, 2021

Katikati Mwenye Nguo Rangi Nyekundu na Weusi ni Mh. Mkuu wa Wilaya ya Mbulu, Sezaria V. Makota Akipokea Taarifa na Maelekezo ya Mradi Huo wa Barabara ya Qaloda hadi Ng'orati.

Mh. Mkuu wa Wilaya ya Mbulu, Sezaria V. Makota Akikagua Nyumba ya Mwalimu Katika Shule ya Msingi Sagha Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu.





~~~~~~~~~~     HABARI KAMILI     ~~~~~~~~~~


Haya yamejiri wakati Mh. Mkuu wa Wilaya S.V.Makota akiwa katika ziara ya ukaguzi wa miradi mbalimbali ya barabara na elimu katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu Vijijini. Ambapo katika ziara hiyo Mh.Mkuu wa Wilaya huyo alipokea taarifa ya mradi wa barabara ya kiwango cha vumbi iliyochongwa kwa upana sahihi na kushindiliwa ipasavyo toka kijiji cha Qaloda hadi Ng'orati yenye urefu wa kilometa 11.

Barabara hii ni msaada mkubwa kwa wananchi kwa kuwa itasaidia usafirishaji wa mazao mbalimbali na abiria kitu kitakachochochea ukuaji wa maeneo yote inamopita barabara hii ikiwemo kuongeza ajira baada ya maisha kuboreka kutokana na matokeo chanya ya kuwepo kwa mawasilisano ya barabara ya uhakika.

Hata hivyo  Mh. Mkuu wa Wilaya S.V.Makota aliendelea na ukaguzi huo katika miundombinu ya elimu ambapo alitembelea Shule ya Msingi Sagha ambapo alikuta nyumba 1 ya waalimu ambayo imepauliwa bado umaliziaji. Katika nyumba hiyo Mh. Mkuu wa Wilaya alishauri  kwamba "choo, bafu, jiko na stoo vijengwe kwenye vyumba vya uwani na shimo la choo lijengwe nje, kwani hii itasaidia kuwepo kwa mazingira mazuri na salama kwa mwalimu atakayeishi hapa"

Matangazo

  • TANGAZO KWA WANANCHI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU TAREHE 18.06.2022 June 16, 2022
  • TANGAZO KWA UMMA MAPOKEZI YA WATUMISHI AJIRA MPYA KADA YA AFYA NA ELIMU July 01, 2022
  • HERI YA SIKU KUU YA NANENANE KWA WANANCHI WOTE NA MATUKIO YA NANENANE 08.08.2022 August 08, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA USAILI WA SENSA July 18, 2022
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • Maonyesho ya Kanda ya Kaskazini ya Nanenane Arusha Banda la Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu Leo 08.08.2022

    August 08, 2022
  • Maonyesho ya Kanda ya Kaskazini ya Nanenane Arusha Banda la Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

    August 04, 2022
  • Mafunzo Maalumu ya Timu ya Uchanjaji Chanjo ya Uviko 19 Yawa Chachu Katika Kuongeza Kasi ya Uchanjaji Katika Kikao Kazi Tarehe 30.07.2022

    July 31, 2022
  • KNY: Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Mgeni Rasmi Ndg. Abubakar A. Kuuli (Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu) Awapa Wahitimu Mbinu Mbadala Namna ya Kujiajiri Katika Mahafali Taasisi ya Mafunzo ya Afya Haydom - Mbulu Tarehe 22.07.2022

    July 23, 2022
  • Tazama zote

Picha Jongefu

Burudani yaTwist yanogesha sherehe ya Wanawake Dongobesh
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.