• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • WAHESHIMIWA MADIWANI
    • MADIWANI VITI MAALUM
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

MBUNGE WA WAFANYAKAZI AWATAKA WATUMISHI WA MBULU DC WAKAPIGE KURA IFIKAPO NOVEMBA 27

Kurushwa hewani: November 13th, 2024

Na, Magreth Mbawala, Mbulu DC.

Mbunge wa Viti Maalum kupitia kundi la wafanyakazi, Dr. Alice Karungi Kaijage amewataka wafanyakazi wote waliojiandikisha kwenye daftari la kupiga kura Kwenda kupiga kura ifikapo Novemba 27,2024. Na kuwaasa kuwa uchaguzi utakaofanyika ni muhimu kwao kwa sababu maamuzi mengi yanatokea huko chini na wanaishi nayo.

Mkuu wa Idara ya Utumishi, Neema Aligawesa akitambulisha watumishi kwa mgeni rasmi.

Aliyasema hayo wakati akizungumza na watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu, Novemba 13, 2024, katika ukumbi wa Halmashauri.

Aidha akiwa kwenye ziara yake ya kikazi alisema amekuja kuwaona na kuwasikiliza wafanyakazi kujua changamoto mbalimbali ili aweze Kwenda kuzisemea bungeni na kwenye mamlaka husika ili ziweze kupata utatuzi.

“Rais wetu Dr samia Suluhu Hassan ni msikivu sana na ndio maana mambo mengi anayatekeleza”. alisema Dr. Alice.

Akaendelea kwa kusema kuwa miaka mitano nyuma watu walikua hawapandi madaraja ya kazi wala ajira mpya hazikuwepo ila Rais wetu mpendwa ametekeleza hayo kwa asilimia kubwa sana.

Mmoja wa viongozi wa Vyama vya wafanyakazi akiuliza swali kwa mgeni rasmi.

Kwa upande mwingine Mhe. Mbunge aliahidi kuzichukua kero mbalimbali ambazo zimejitokeza kwa wafanyakazi ikiwemo suala la kikokotoo, miundo ya nafasi kwenye Halmashauri na bima ya afya NHIF kuzifikisha bungeni na kwenye Wizara husika kwa ajili ya utatuzi.

Picha ya pamoja ya watumishi wote wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu pamoja na Mbunge Viti maalum Dr. Alice Kaijage.

Naye kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Mbulu Joseph Sambo, alimshukuru sana Mhe. Mbunge Kaijage kwa kuwatembelea na kushirikishana changamoto mbalimbali za kiutumishi, pia alimkaribisha tena Mbulu DC.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE SEMINA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI October 20, 2025
  • TANGAZO LA USAFI JUMAMOSI YA MWISHO YA MWEZI November 28, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA (JKT) KWA HIARI January 27, 2026
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • BARAZA LA MADIWANI LA HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU LAPITISHA NA KUPONGEZA RASIMU YA MPANGO NA BAJETI YA MWAKA WA FEDHA 2026/2027

    February 10, 2026
  • USHIRIKIANO WA KITENGO CHA USTAWI WA JAMII NA TAASISI YA CHaRA WAWEZESHA WANAFUNZI WA KIKE DONGOBESH SEKONDARI KUPITIA ELIMU YA AFYA, KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA NA UGAWAJI WA TAULO ZA KIKE

    February 09, 2026
  • WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WANUFAIKA NA MIKOPO YA ASILIMIA 10 MBULU DC

    January 19, 2026
  • WANANCHI WAASWA KUENDELEA KUCHUKUA TAHADHARI YA UGONJWA WA UKIMWI

    December 01, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

DC SEMINDU AAGIZA WATENDAJI KUHAKIKISHA WANASIMAMIA UTOAJI WA LISHE KILA KIJIJI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.