• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • WAHESHIMIWA MADIWANI
    • MADIWANI VITI MAALUM
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

MIRADI YA BILIONI 5.3 MBULU DC YAKAGULIWA NA TIMU YA UKAGUZI MKOA

Kurushwa hewani: September 29th, 2025

Na, Magreth Mbawala,Mbulu DC.


Timu ya wataalamu kutoka ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Manyara imefanya ziara ya kukagua miradi yenye thamani ya shilingi bilioni 5,330,975,932.80 kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu.


Ziara hiyo imefanyika tarehe 29-30/09/2025 ambapo jumla ya miradi thelathini na sita (36) ilikaguliwa.


Miradi iliyokaguliwa ni pamoja na ujenzi wa madarasa 3 na matundu 6 ya vyoo Shule ya Msingi Mangisa Mil. 88.6, ukamilishaji wa vyumba 2 vya madarasa Shule ya Msingi shikizi Qatamarish Mil. 20, ukamilishaji wa vyumba 2 vya madarasa Shule ya Msingi Miqaw Mil. 12.5, ujenzi wa kituo cha Afya Masieda Mil. 586, ujenzi wa nyumba ya mwalimu na ukamilishaji wa chumba cha darasa Shule ya Msingi Masieda Mil. 63, ujenzi wa choo cha Wanafunzi Shule ya Msingi Gidhim Mil. 49.4, ukamilishaji wa OPD kituo cha Afya Maretadu Mil. 30, ukamilishaji wa chumba cha maabara Shule ya Sekondari Jakaya Kikwete Mil. 30, ujenzi wa choo cha Wanafunzi Shule ya Msingi Mareba Mil. 38.9,ukamilishaji wa chumba cha maabara Shule ya Sekondari Haydarer Mil. 20 na ukamilishaji wa chumba cha darasa na ujenzi wa vyoo vya Wanafunzi Shule ya Sekondari Geterer Mil. 32.5.


Ujenzi wa Shule mpya ya awali na Msingi katika eneo la Sekondari Dinamu Mil. 330.7, ukamilishaji wa vyumba 2 vya Madarasa Shule ya Msingi shikizi Genda Mil. 15, ukamilishaji wa vyumba 2 vya madarasa Shule mpya ya Msingi Ginyabudel Mil. 25, ukamilishaji wa ofisi ya kata Dinamu Mil. 10, ujenzi wa choo cha Zahanati Muslur Mil 29.4, ujenzi wa choo cha Zahanati Gidmadoy Mil. 27.1, ujenzi wa mabweni 2,madarasa 5 na vyoo matundu 8 katika Shule ya Sekondari Tumati Mil. 401.8, ujenzi wa Shule ya Amali ya Mkoa Bashay Bil. 1.6, ujenzi wa shule ya mkondo mmoja Dumanang Mil. 351, ujenzi wa uzio,ununuzi wa samani na kuweka pavement katika jingo la Halmashauri Mil. 778.2 na ukamilishaji wa nyumba ya Mkurugenzi pamoja na nyumba mbili za wakuu wa idara Mil. 30.


Chanzo cha fedha kwa miradi yote hiyo ikiwa ni mapato ya ndani Mil.216.5, Serikali kuu Bilioni 1.1 na wafadhili na fedha nyingine ikiwemo michango ya wananchi Bilioni 3.9.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE SEMINA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI October 20, 2025
  • TANGAZO LA USAFI JUMAMOSI YA MWISHO YA MWEZI November 28, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA (JKT) KWA HIARI January 27, 2026
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • KAMATI YA FEDHA NA MIPANGO YAFANYA UKAGUZI WA NYUMBA ZA KUPANGISHA ZINAZOONGEZA MAPATO YA HALMASHAURI

    March 10, 2026
  • DC SEMINDU AONGOZA TIMU YA WATAALAM KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI

    March 04, 2026
  • HATUA ZA MKUU WA WILAYA ZAWAFARIJI WACHIMBAJI WADOGO BAADA YA KUTATUA CHANGAMOTO ZA MAJI, UMEME NA MAWASILIANO

    March 04, 2026
  • FURAHA KWA SEKONDARI DINAMU: WAZIRI MKUU AAHIDI SHILINGI MILIONI 153 KUJENGA HOSTELI

    March 02, 2026
  • Tazama zote

Picha Jongefu

DC SEMINDU AAGIZA WATENDAJI KUHAKIKISHA WANASIMAMIA UTOAJI WA LISHE KILA KIJIJI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.